8 “Ikiwa utajenga nyumba mpya, pia utafanya ukuta wa ukingoni kwa ajili ya dari lako,+ ili usiletee nyumba yako hatia ya damu kwa sababu mtu anaweza kuanguka kutoka hapo.
2 Na ikawa wakati wa jioni kwamba Daudi akaamka kutoka kitandani mwake, akatembea huku na huku juu ya dari+ ya nyumba ya mfalme; na kutoka juu ya dari akamwona+ mwanamke akioga, na mwanamke huyo alikuwa mwenye sura nzuri sana.+