24 Ndipo wakamjibu Yoshua: “Tulifanya hivyo kwa sababu sisi watumishi wako tuliambiwa waziwazi kwamba Yehova Mungu wako alimwamuru Musa mtumishi wake awape ninyi nchi yote na kuwaangamiza wakaaji wote kutoka mbele yenu.+ Basi tulifanya hivyo kwa sababu tuliogopa mtatuua.+