Yona 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ni nani anayejua iwapo Mungu wa kweli hatageuka na kujuta+ na kuacha hasira yake inayowaka, tusije tukaangamia?”+ Waroma 3:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Au je, yeye ni Mungu wa Wayahudi peke yao?+ Je, yeye si wa watu wa mataifa pia?+ Ndiyo, wa watu wa mataifa pia,+ Waebrania 11:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kwa imani Rahabu+ yule kahaba hakuangamia pamoja na wale waliotenda kwa kutotii, kwa sababu aliwapokea wale wapelelezi kwa njia ya amani.+
9 Ni nani anayejua iwapo Mungu wa kweli hatageuka na kujuta+ na kuacha hasira yake inayowaka, tusije tukaangamia?”+
29 Au je, yeye ni Mungu wa Wayahudi peke yao?+ Je, yeye si wa watu wa mataifa pia?+ Ndiyo, wa watu wa mataifa pia,+
31 Kwa imani Rahabu+ yule kahaba hakuangamia pamoja na wale waliotenda kwa kutotii, kwa sababu aliwapokea wale wapelelezi kwa njia ya amani.+