Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 27
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Mambo ya Nyakati 27:1

Marejeo

  • +1Nya 5:24
  • +Kut 18:25; 1Sa 8:12; 1Nya 13:1; 2Nya 1:2
  • +Kum 1:15
  • +1Nya 28:1

1 Mambo ya Nyakati 27:2

Marejeo

  • +2Sa 23:8; 1Nya 11:11

1 Mambo ya Nyakati 27:3

Marejeo

  • +Hes 26:21

1 Mambo ya Nyakati 27:4

Marejeo

  • +2Sa 23:9; 1Nya 11:12
  • +1Nya 8:4

1 Mambo ya Nyakati 27:5

Marejeo

  • +2Sa 23:20
  • +1Fa 4:4; 1Nya 12:27

1 Mambo ya Nyakati 27:6

Marejeo

  • +2Sa 23:20
  • +2Sa 23:23

1 Mambo ya Nyakati 27:7

Marejeo

  • +2Sa 2:18; 23:24
  • +1Nya 2:16

1 Mambo ya Nyakati 27:8

Marejeo

  • +2Sa 23:25; 1Nya 11:27

1 Mambo ya Nyakati 27:9

Marejeo

  • +2Sa 23:26
  • +1Nya 11:28
  • +2Nya 11:6; 20:20; Amo 1:1

1 Mambo ya Nyakati 27:10

Marejeo

  • +1Nya 11:27
  • +2Sa 23:26

1 Mambo ya Nyakati 27:11

Marejeo

  • +2Sa 21:18
  • +Hes 26:20

1 Mambo ya Nyakati 27:12

Marejeo

  • +2Sa 23:27
  • +1Nya 6:60

1 Mambo ya Nyakati 27:13

Marejeo

  • +2Sa 23:28
  • +Hes 26:20

1 Mambo ya Nyakati 27:14

Marejeo

  • +2Sa 23:30
  • +Amu 12:15

1 Mambo ya Nyakati 27:15

Marejeo

  • +2Sa 23:29

1 Mambo ya Nyakati 27:16

Marejeo

  • +Mdo 26:7

1 Mambo ya Nyakati 27:17

Marejeo

  • +1Nya 24:31

1 Mambo ya Nyakati 27:18

Marejeo

  • +1Sa 17:28
  • +1Sa 16:6

1 Mambo ya Nyakati 27:21

Marejeo

  • +1Sa 14:50; 2Sa 3:27

1 Mambo ya Nyakati 27:22

Marejeo

  • +1Nya 22:17; 28:1

1 Mambo ya Nyakati 27:23

Marejeo

  • +Mwa 15:5; Ebr 11:12

1 Mambo ya Nyakati 27:24

Marejeo

  • +2Sa 24:2
  • +1Nya 21:6
  • +2Sa 24:15; 1Nya 21:7

1 Mambo ya Nyakati 27:25

Marejeo

  • +2Fa 18:15
  • +1Sa 8:14; 2Nya 26:10
  • +1Fa 9:19

1 Mambo ya Nyakati 27:26

Marejeo

  • +Mhu 5:9

1 Mambo ya Nyakati 27:27

Marejeo

  • +1Sa 8:14; 22:7

1 Mambo ya Nyakati 27:28

Marejeo

  • +2Nya 9:27
  • +2Nya 26:10
  • +1Fa 5:11; 2Nya 32:28

1 Mambo ya Nyakati 27:29

Marejeo

  • +Isa 35:2

1 Mambo ya Nyakati 27:30

Marejeo

  • +1Sa 27:9
  • +Mwa 37:25

1 Mambo ya Nyakati 27:32

Marejeo

  • +2Sa 13:3; 21:21
  • +Met 1:5; 10:13; 16:21
  • +1Nya 11:11
  • +2Sa 3:2; 1Nya 3:5

1 Mambo ya Nyakati 27:33

Marejeo

  • +2Sa 15:12; 16:23; 17:23
  • +Zb 119:24
  • +2Sa 15:37
  • +2Sa 16:16
  • +2Sa 16:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    3/2017, uku. 29

1 Mambo ya Nyakati 27:34

Marejeo

  • +2Sa 23:20; 1Fa 2:35
  • +1Fa 1:7
  • +1Nya 11:6

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Nya. 27:11Nya 5:24
1 Nya. 27:1Kut 18:25; 1Sa 8:12; 1Nya 13:1; 2Nya 1:2
1 Nya. 27:1Kum 1:15
1 Nya. 27:11Nya 28:1
1 Nya. 27:22Sa 23:8; 1Nya 11:11
1 Nya. 27:3Hes 26:21
1 Nya. 27:42Sa 23:9; 1Nya 11:12
1 Nya. 27:41Nya 8:4
1 Nya. 27:52Sa 23:20
1 Nya. 27:51Fa 4:4; 1Nya 12:27
1 Nya. 27:62Sa 23:20
1 Nya. 27:62Sa 23:23
1 Nya. 27:72Sa 2:18; 23:24
1 Nya. 27:71Nya 2:16
1 Nya. 27:82Sa 23:25; 1Nya 11:27
1 Nya. 27:92Sa 23:26
1 Nya. 27:91Nya 11:28
1 Nya. 27:92Nya 11:6; 20:20; Amo 1:1
1 Nya. 27:101Nya 11:27
1 Nya. 27:102Sa 23:26
1 Nya. 27:112Sa 21:18
1 Nya. 27:11Hes 26:20
1 Nya. 27:122Sa 23:27
1 Nya. 27:121Nya 6:60
1 Nya. 27:132Sa 23:28
1 Nya. 27:13Hes 26:20
1 Nya. 27:142Sa 23:30
1 Nya. 27:14Amu 12:15
1 Nya. 27:152Sa 23:29
1 Nya. 27:16Mdo 26:7
1 Nya. 27:171Nya 24:31
1 Nya. 27:181Sa 17:28
1 Nya. 27:181Sa 16:6
1 Nya. 27:211Sa 14:50; 2Sa 3:27
1 Nya. 27:221Nya 22:17; 28:1
1 Nya. 27:23Mwa 15:5; Ebr 11:12
1 Nya. 27:242Sa 24:2
1 Nya. 27:241Nya 21:6
1 Nya. 27:242Sa 24:15; 1Nya 21:7
1 Nya. 27:252Fa 18:15
1 Nya. 27:251Sa 8:14; 2Nya 26:10
1 Nya. 27:251Fa 9:19
1 Nya. 27:26Mhu 5:9
1 Nya. 27:271Sa 8:14; 22:7
1 Nya. 27:282Nya 9:27
1 Nya. 27:282Nya 26:10
1 Nya. 27:281Fa 5:11; 2Nya 32:28
1 Nya. 27:29Isa 35:2
1 Nya. 27:301Sa 27:9
1 Nya. 27:30Mwa 37:25
1 Nya. 27:322Sa 13:3; 21:21
1 Nya. 27:32Met 1:5; 10:13; 16:21
1 Nya. 27:321Nya 11:11
1 Nya. 27:322Sa 3:2; 1Nya 3:5
1 Nya. 27:332Sa 15:12; 16:23; 17:23
1 Nya. 27:33Zb 119:24
1 Nya. 27:332Sa 15:37
1 Nya. 27:332Sa 16:16
1 Nya. 27:332Sa 16:17
1 Nya. 27:342Sa 23:20; 1Fa 2:35
1 Nya. 27:341Fa 1:7
1 Nya. 27:341Nya 11:6
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Mambo ya Nyakati 27:1-34

1 Mambo ya Nyakati

27 Kwa habari ya wana wa Israeli kulingana na hesabu yao, walio vichwa vya nyumba za ukoo wa upande wa baba+ na wakuu+ wa maelfu na wa mamia+ na maofisa wao waliomhudumia+ mfalme katika kila jambo la ile migawanyo ya wale walioingia na kutoka mwezi kwa mwezi kwa miezi yote ya mwaka, katika kila mgawanyo kulikuwa na watu 24,000.

2 Juu ya mgawanyo wa kwanza wa mwezi wa kwanza kulikuwa na Yashobeamu+ mwana wa Zabdieli, na katika mgawanyo wake kulikuwa na watu 24,000. 3 Baadhi ya wana wa Perezi+ aliye kichwa cha wakuu wote wa vikundi vya utumishi walikuwa kwa ajili ya mwezi wa kwanza. 4 Na juu ya mgawanyo wa mwezi wa pili kulikuwa na Dodai+ Mwahohi+ na mgawanyo wake, na Miklothi ndiye aliyekuwa kiongozi, na katika mgawanyo wake kulikuwa na watu 24,000. 5 Mkuu wa kikundi cha tatu cha utumishi kwa ajili ya mwezi wa tatu alikuwa ni Benaya+ mwana wa Yehoyada+ mkuu wa makuhani, na katika mgawanyo wake kulikuwa na watu 24,000. 6 Huyo Benaya+ alikuwa mwanamume mwenye nguvu wa wale 30+ na juu ya wale 30; na juu ya mgawanyo wake kulikuwa na Amizabadi mwana wake. 7 Wa nne kwa ajili ya mwezi wa nne alikuwa Asaheli,+ ndugu ya Yoabu,+ na Zebadia mwana wake baada yake, na katika mgawanyo wake walikuwa 24,000. 8 Mkuu wa tano kwa ajili ya mwezi wa tano alikuwa Shamhuthi+ Mwizrahia, na katika mgawanyo wake walikuwa 24,000. 9 Wa sita kwa ajili ya mwezi wa sita alikuwa Ira+ mwana wa Ikeshi+ Mtekoa,+ na katika mgawanyo wake walikuwa 24,000. 10 Wa saba kwa ajili ya mwezi wa saba alikuwa Helezi+ Mpeloni,+ wa wana wa Efraimu, na katika mgawanyo wake walikuwa 24,000. 11 Wa nane kwa ajili ya mwezi wa nane alikuwa Sibekai+ Mhusha wa Wazera,+ na katika mgawanyo wake walikuwa 24,000. 12 Wa tisa kwa ajili ya mwezi wa tisa alikuwa Abiezeri+ Mwanathothi+ wa Wabenyamini, na katika mgawanyo wake walikuwa 24,000. 13 Wa kumi kwa ajili ya mwezi wa kumi alikuwa Maharai+ Mnetofa wa Wazera,+ na katika mgawanyo wake walikuwa 24,000. 14 Wa kumi na moja kwa ajili ya mwezi wa kumi na moja alikuwa Benaya+ Mpirathoni wa wana wa Efraimu,+ na katika mgawanyo wake walikuwa 24,000. 15 Wa kumi na mbili kwa ajili ya mwezi wa kumi na mbili alikuwa Heldai+ Mnetofa, wa Othnieli, na katika mgawanyo wake walikuwa 24,000.

16 Na juu ya makabila ya Israeli,+ wa Warubeni, Eliezeri mwana wa Zikri ndiye aliyekuwa kiongozi; wa Wasimeoni, Shefatia mwana wa Maaka; 17 wa Lawi, Hashabia mwana wa Kemueli; wa Haruni, Sadoki;+ 18 wa Yuda, Elihu,+ mmoja wa ndugu za Daudi;+ wa Isakari, Omri mwana wa Mikaeli; 19 wa Zabuloni, Ishmaya mwana wa Obadia; wa Naftali, Yerimothi mwana wa Azrieli; 20 wa wana wa Efraimu, Hoshea mwana wa Azazia; wa nusu ya kabila la Manase, Yoeli mwana wa Pedaya; 21 wa nusu ya kabila la Manase katika Gileadi, Ido mwana wa Zekaria; wa Benyamini, Yaasieli mwana wa Abneri;+ 22 wa Dani, Azareli mwana wa Yerohamu. Hao walikuwa wakuu+ wa makabila ya Israeli.

23 Na Daudi hakuhesabu wale waliokuwa na umri wa miaka 20 kurudi chini, kwa sababu Yehova alikuwa ameahidi kufanya Israeli kuwa wengi kama nyota za mbinguni.+ 24 Yoabu+ mwana wa Seruya alikuwa ameanza kuhesabu, lakini hakumaliza;+ na kwa sababu hiyo kukawa na ghadhabu+ juu ya Israeli, na hesabu hiyo haikuwekwa katika hesabu ya mambo ya siku za Mfalme Daudi.

25 Na juu ya hazina za mfalme+ kulikuwa na Azmavethi mwana wa Adieli. Na juu ya hazina katika shamba,+ katika majiji+ na katika vijiji na katika minara kulikuwa na Yonathani mwana wa Uzia. 26 Na juu ya wafanyakazi shambani,+ kwa ajili ya kulima udongo, kulikuwa na Ezri mwana wa Kelubu. 27 Na juu ya mashamba ya mizabibu+ kulikuwa na Shimei Mrama; na juu ya vitu vilivyokuwa katika mashamba ya mizabibu kwa ajili ya akiba za divai kulikuwa na Zabdi Mshifi. 28 Na juu ya mashamba ya mizeituni na mikuyu+ iliyokuwa katika Shefela+ kulikuwa na Baal-hanani Mgederi; na juu ya akiba ya mafuta+ kulikuwa na Yoashi. 29 Na juu ya mifugo iliyokuwa ikilisha katika Sharoni+ kulikuwa na Shitrai Msharoni; na juu ya mifugo katika nchi tambarare za chini kulikuwa na Shafati mwana wa Adlai. 30 Na juu ya ngamia+ kulikuwa na Obili Mwishmaeli;+ na juu ya punda-jike kulikuwa na Yehdeya Mmeronothi. 31 Na juu ya makundi kulikuwa na Yazizi Mhagri. Hao wote ndio waliokuwa wakuu wa mali za Mfalme Daudi.

32 Na Yonathani,+ mpwa wa Daudi, alikuwa mshauri, mwanamume mwenye uelewaji,+ naye alikuwa mwandishi pia; na Yehieli mwana wa Hakmoni+ alikuwa pamoja na wana wa mfalme.+ 33 Na Ahithofeli+ alikuwa mshauri+ wa mfalme; na Hushai+ Mwarki,+ alikuwa rafiki ya mfalme.+ 34 Na baada ya Ahithofeli kulikuwa na Yehoyada mwana wa Benaya+ na Abiathari;+ na Yoabu+ alikuwa mkuu wa jeshi la mfalme.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki