1 Mambo ya Nyakati 27:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Yonathani,+ mpwa wa Daudi, alikuwa mshauri, mwanamume mwenye uelewaji na pia mwandishi, na Yehieli mwana wa Hakmoni aliwatunza wana wa mfalme.+
32 Yonathani,+ mpwa wa Daudi, alikuwa mshauri, mwanamume mwenye uelewaji na pia mwandishi, na Yehieli mwana wa Hakmoni aliwatunza wana wa mfalme.+