2 Samweli 13:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Sasa Amnoni alikuwa na rafiki aliyeitwa Yehonadabu,+ mwana wa Shimea,+ ndugu ya Daudi; na Yehonadabu alikuwa mtu mjanja sana. 2 Samweli 21:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Aliendelea kuwadhihaki Waisraeli.+ Basi Yonathani mwana wa Shimei,+ ndugu ya Daudi, akamuua.
3 Sasa Amnoni alikuwa na rafiki aliyeitwa Yehonadabu,+ mwana wa Shimea,+ ndugu ya Daudi; na Yehonadabu alikuwa mtu mjanja sana.