1 Samweli 17:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kisha Mfilisti huyo akasema: “Ninavitukana* vikosi vya Israeli+ leo. Nipeni mwanamume, nipigane naye!” 1 Samweli 17:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Daudi akamjibu hivi huyo Mfilisti: “Unakuja kupigana nami kwa upanga, mkuki, na fumo,+ lakini mimi naja kupigana nawe kwa jina la Yehova wa majeshi,+ Mungu wa vikosi vya Israeli, ambaye umemtukana.*+ 2 Wafalme 19:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Umemdhihaki na kumkufuru nani?+ Umepaza sauti yako dhidi ya nani+Na kuinua macho yako yenye kiburi? Ni dhidi ya Mtakatifu wa Israeli!+
10 Kisha Mfilisti huyo akasema: “Ninavitukana* vikosi vya Israeli+ leo. Nipeni mwanamume, nipigane naye!”
45 Daudi akamjibu hivi huyo Mfilisti: “Unakuja kupigana nami kwa upanga, mkuki, na fumo,+ lakini mimi naja kupigana nawe kwa jina la Yehova wa majeshi,+ Mungu wa vikosi vya Israeli, ambaye umemtukana.*+
22 Umemdhihaki na kumkufuru nani?+ Umepaza sauti yako dhidi ya nani+Na kuinua macho yako yenye kiburi? Ni dhidi ya Mtakatifu wa Israeli!+