1 Samweli 16:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kisha Yese akampitisha Shamma,+ lakini Samweli akasema: “Hata huyu Yehova hajamchagua.” 1 Samweli 17:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Wana watatu wakubwa wa Yese walikuwa wameenda na Sauli vitani.+ Majina ya wana hao watatu walioenda vitani ni Eliabu+ mzaliwa wake wa kwanza, Abinadabu+ mwana wake wa pili, na Shamma mwana wake wa tatu.+ 1 Mambo ya Nyakati 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Yese akamzaa mzaliwa wake wa kwanza Eliabu, wa pili Abinadabu,+ wa tatu Shimea,+
13 Wana watatu wakubwa wa Yese walikuwa wameenda na Sauli vitani.+ Majina ya wana hao watatu walioenda vitani ni Eliabu+ mzaliwa wake wa kwanza, Abinadabu+ mwana wake wa pili, na Shamma mwana wake wa tatu.+