25 Naye Musa akachagua wanaume wenye uwezo kutoka Israeli lote na kuwapa vyeo vya kuwa vichwa juu ya watu,+ kuwa wakuu wa maelfu, wakuu wa mamia, wakuu wa 50 na wakuu wa makumi.
12 na kujichagulia wakuu wawe juu ya watu 1,000+ na wakuu wawe juu ya watu 50,+ na baadhi yao wamlimie+ na kuvuna mavuno+ yake na kutengeneza silaha zake za vita+ na vyombo vya magari yake.+
2 Na Sulemani akasema na Israeli wote, kwa wakuu wa maelfu+ na wa mamia+ na kwa waamuzi+ na wakuu wote wa Israeli,+ vichwa vya nyumba za ukoo wa upande wa baba.+