2 Samweli 23:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na baada yake Eleazari+ mwana wa Dodo+ mwana wa Ahohi alikuwa kati ya wale wanaume watatu wenye nguvu ambao walikuwa na Daudi walipowadhihaki Wafilisti. Walikuwa wamejikusanya hapo kwa ajili ya vita, na kwa hiyo watu wa Israeli wakarudi nyuma.+ 1 Mambo ya Nyakati 11:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na baada yake alikuwa Eleazari+ mwana wa Dodo, Mwahohi.+ Alikuwa kati ya wale wanaume watatu wenye nguvu.+
9 Na baada yake Eleazari+ mwana wa Dodo+ mwana wa Ahohi alikuwa kati ya wale wanaume watatu wenye nguvu ambao walikuwa na Daudi walipowadhihaki Wafilisti. Walikuwa wamejikusanya hapo kwa ajili ya vita, na kwa hiyo watu wa Israeli wakarudi nyuma.+
12 Na baada yake alikuwa Eleazari+ mwana wa Dodo, Mwahohi.+ Alikuwa kati ya wale wanaume watatu wenye nguvu.+