1 Mambo ya Nyakati 11:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Aliyemfuata ni Eleazari+ mwana wa Dodo mwana wa Ahohi.+ Alikuwa miongoni mwa mashujaa hao watatu hodari.
12 Aliyemfuata ni Eleazari+ mwana wa Dodo mwana wa Ahohi.+ Alikuwa miongoni mwa mashujaa hao watatu hodari.