1 Mambo ya Nyakati 11:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Yeye ndiye aliyekuwa na Daudi kule Pas-damimu,+ ambapo Wafilisti walikuwa wamejikusanya kwa ajili ya vita. Basi palikuwa na eneo la shamba lililojaa shayiri, na watu wakawa wamekimbia kwa sababu ya Wafilisti.+
13 Yeye ndiye aliyekuwa na Daudi kule Pas-damimu,+ ambapo Wafilisti walikuwa wamejikusanya kwa ajili ya vita. Basi palikuwa na eneo la shamba lililojaa shayiri, na watu wakawa wamekimbia kwa sababu ya Wafilisti.+