17 Naye akaendelea kusema: “Ni jambo lisiloweza kuwaziwa kwangu,+ Ee Yehova, kwamba nifanye hivi! Je, ninywe damu+ ya watu wanaoenda kwa kuhatarisha nafsi zao?” Naye hakukubali kuyanywa.
Hayo ndiyo mambo ambayo wale wanaume watatu wenye nguvu walifanya.