2 Samweli 23:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 alisimama imara na kuendelea kuwaua Wafilisti mpaka mkono wake ulipochoka na kuganda kwa sababu ya kuushika upanga.+ Basi Yehova akawapa ushindi* mkubwa siku hiyo;+ na watu wakamfuata Eleazari ili kuchukua nyara za watu waliouawa.
10 alisimama imara na kuendelea kuwaua Wafilisti mpaka mkono wake ulipochoka na kuganda kwa sababu ya kuushika upanga.+ Basi Yehova akawapa ushindi* mkubwa siku hiyo;+ na watu wakamfuata Eleazari ili kuchukua nyara za watu waliouawa.