Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 15:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Alipofika Lehi, Wafilisti walishangilia sana kumwona. Kisha roho ya Yehova ikamtia nguvu,+ na kamba alizofungwa mikononi zikawa kama nyuzi za kitani zilizochomwa moto, nazo zikalegea* na kuanguka kutoka mikononi mwake.+

  • Waamuzi 15:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kisha Samsoni akasema:

      “Kwa utaya wa punda—rundo moja, marundo mawili!

      Kwa utaya wa punda nimeua wanaume 1,000.”+

  • 1 Samweli 14:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Basi Yonathani akamwambia mtumishi wake aliyembebea silaha: “Njoo tuvuke na kwenda kwenye kituo cha ulinzi cha wanaume hawa wasiotahiriwa.+ Labda Yehova atatusaidia, kwa maana hakuna kitu chochote kinachoweza kumzuia Yehova kuokoa kwa kutumia watu wengi au wachache.”+

  • 1 Samweli 19:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Alihatarisha uhai wake* alipomuua yule Mfilisti,+ na Yehova akawapa Waisraeli wote ushindi* mkubwa. Uliona jambo hilo, ukashangilia sana. Basi kwa nini uitendee dhambi damu isiyo na hatia kwa kuagiza Daudi auawe bila sababu?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki