10 Yeye ndiye aliyesimama, akawapiga na kuwaua Wafilisti mpaka mkono wake ukachoka na mkono wake ukaendelea kuushika upanga,+ hivi kwamba Yehova akatimiza wokovu mkuu siku hiyo;+ lakini nao watu wakarudi nyuma yake ili tu wawavue nyara wale waliopigwa na kuuawa.+