11 Naye Sulemani akampa Hiramu vipimo 20,000 vya kori+ vya ngano viwe chakula kwa ajili ya nyumba yake na vipimo 20 vya kori vya mafuta yaliyopondwa.+ Hivyo ndivyo vitu ambavyo Sulemani alimpa Hiramu mwaka baada ya mwaka.+
28 na pia maghala+ kwa ajili ya mazao ya nafaka na divai mpya+ na mafuta, na pia vibanda+ kwa ajili ya wanyama wote wa aina mbalimbali na vibanda kwa ajili ya makundi ya wanyama.