6 na Baalathi+ na majiji yote yenye maghala yaliyokuwa yamekuwa ya Sulemani na majiji yote ya magari+ na majiji ya wapanda-farasi+ na kila kitu chenye kutamanika cha Sulemani+ ambacho alikuwa ametamani kukijenga katika Yerusalemu na katika Lebanoni+ na katika nchi yote ya mamlaka yake.