Kutoka 29:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Na sehemu ya kumi ya kipimo cha efa ya unga laini+ uliotiwa sehemu ya nne ya hini ya mafuta yaliyopondwa, na toleo la kinywaji+ la sehemu ya nne ya hini ya divai, vitatolewa kwa ajili ya yule mwana-kondoo dume wa kwanza. Mambo ya Walawi 24:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Waamuru wana wa Israeli wakuletee mafuta safi ya zeituni zilizopondwa kwa ajili ya mwanga,+ ili kuiwasha taa daima.+
40 Na sehemu ya kumi ya kipimo cha efa ya unga laini+ uliotiwa sehemu ya nne ya hini ya mafuta yaliyopondwa, na toleo la kinywaji+ la sehemu ya nne ya hini ya divai, vitatolewa kwa ajili ya yule mwana-kondoo dume wa kwanza.
2 “Waamuru wana wa Israeli wakuletee mafuta safi ya zeituni zilizopondwa kwa ajili ya mwanga,+ ili kuiwasha taa daima.+