8 Haya ndiyo majina ya wale wanaume wenye nguvu+ waliokuwa wa Daudi: Yosheb-bashebethi+ Mtakemoni, kichwa cha wale watatu. Alikuwa akitikisa mkuki wake juu ya watu mia nane waliouawa kwa wakati mmoja.
11 Na hii ndiyo orodha ya wale wanaume wenye nguvu waliokuwa wa Daudi: Yashobeamu+ mwana wa Mhakmoni, kichwa cha wale watatu. Alikuwa akitikisa mkuki wake juu ya watu mia tatu waliouawa kwa wakati mmoja.+