2 Samweli 23:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Haya ndiyo majina ya wale wanaume wenye nguvu+ waliokuwa wa Daudi: Yosheb-bashebethi+ Mtakemoni, kichwa cha wale watatu. Alikuwa akitikisa mkuki wake juu ya watu mia nane waliouawa kwa wakati mmoja. 1 Mambo ya Nyakati 27:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Juu ya mgawanyo wa kwanza wa mwezi wa kwanza kulikuwa na Yashobeamu+ mwana wa Zabdieli, na katika mgawanyo wake kulikuwa na watu 24,000.
8 Haya ndiyo majina ya wale wanaume wenye nguvu+ waliokuwa wa Daudi: Yosheb-bashebethi+ Mtakemoni, kichwa cha wale watatu. Alikuwa akitikisa mkuki wake juu ya watu mia nane waliouawa kwa wakati mmoja.
2 Juu ya mgawanyo wa kwanza wa mwezi wa kwanza kulikuwa na Yashobeamu+ mwana wa Zabdieli, na katika mgawanyo wake kulikuwa na watu 24,000.