7 Basi watu wa Yoabu+ na Wakerethi+ na Wapelethi+ na wanaume wote wenye nguvu wakatoka ili wamfuatilie; nao wakatoka nje ya Yerusalemu ili wamfuatilie Sheba mwana wa Bikri.
10 Basi hawa ndio vichwa vya wale wanaume wenye nguvu+ wa Daudi, walioshikamana naye kwa nguvu katika ufalme wake pamoja na Israeli wote, kumfanya kuwa mfalme kulingana na neno la Yehova+ kuhusu Israeli.