18 Na watumishi wake wote walikuwa wakivuka kando yake; na Wakerethi wote na Wapelethi+ wote na Wagathi+ wote, watu mia sita waliokuwa wamemfuata kutoka Gathi,+ walikuwa wakivuka mbele ya uso wa mfalme.
38 Na Sadoki+ kuhani na Nathani+ nabii na Benaya+ mwana wa Yehoyada na Wakerethi+ na Wapelethi+ wakashuka, wakampandisha Sulemani juu ya nyumbu-jike wa Mfalme Daudi,+ kisha wakamleta mpaka Gihoni.+