7 Basi watu wa Yoabu+ na Wakerethi+ na Wapelethi+ na wanaume wote wenye nguvu wakatoka ili wamfuatilie; nao wakatoka nje ya Yerusalemu ili wamfuatilie Sheba mwana wa Bikri.
38 Na Sadoki+ kuhani na Nathani+ nabii na Benaya+ mwana wa Yehoyada na Wakerethi+ na Wapelethi+ wakashuka, wakampandisha Sulemani juu ya nyumbu-jike wa Mfalme Daudi,+ kisha wakamleta mpaka Gihoni.+