Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 23:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Naye Benaya+ mwana wa Yehoyada+ mwana wa mwanamume shujaa, aliyefanya matendo mengi katika Kabzeeli,+ yeye mwenyewe alipiga na kuwaua wale wana wawili wa Arieli wa Moabu; naye alishuka, akapiga na kumuua simba+ ndani ya shimo la maji katika siku ya kuanguka kwa theluji.+

  • 1 Wafalme 1:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Na mfalme alituma pamoja naye Sadoki kuhani na Nathani nabii na Benaya mwana wa Yehoyada na Wakerethi na Wapelethi, nao wakampandisha juu ya nyumbu-jike wa mfalme.+

  • 1 Wafalme 2:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Ndipo mfalme akamweka Benaya+ mwana wa Yehoyada mahali pake juu ya jeshi;+ na mfalme akamweka Sadoki kuwa kuhani mahali pa Abiathari.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 18:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na Benaya+ mwana wa Yehoyada+ alikuwa juu ya Wakerethi+ na Wapelethi;+ na wana wa Daudi walikuwa wa kwanza katika cheo kando ya mfalme.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki