1 Samweli 30:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Sisi ndio tuliovamia upande wa kusini wa Wakerethi+ na nchi ya Yuda na upande wa kusini wa Kalebu;+ nasi tukateketeza Siklagi kwa moto.” Sefania 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Ole wao wanaokaa katika eneo la bahari, taifa la Wakerethi!+ Neno la Yehova liko kinyume chenu. Ee Kanaani, nchi ya Wafilisti, nitakuangamiza wewe pia, hivi kwamba hakutakuwa na mkaaji.+
14 Sisi ndio tuliovamia upande wa kusini wa Wakerethi+ na nchi ya Yuda na upande wa kusini wa Kalebu;+ nasi tukateketeza Siklagi kwa moto.”
5 “Ole wao wanaokaa katika eneo la bahari, taifa la Wakerethi!+ Neno la Yehova liko kinyume chenu. Ee Kanaani, nchi ya Wafilisti, nitakuangamiza wewe pia, hivi kwamba hakutakuwa na mkaaji.+