Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 8:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na Benaya+ mwana wa Yehoyada alikuwa juu ya Wakerethi+ na Wapelethi.+ Nao wana wa Daudi, wakawa makuhani.+

  • 2 Samweli 20:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na Yoabu alikuwa juu ya jeshi+ lote la Israeli; na Benaya+ mwana wa Yehoyada+ alikuwa juu ya Wakerethi+ na juu ya Wapelethi.+

  • 1 Wafalme 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Lakini Sadoki+ kuhani na Benaya+ mwana wa Yehoyada na Nathani+ nabii na Shimei+ na Rei na wale wanaume wenye nguvu+ wa Daudi, hawakushirikiana+ na Adoniya.

  • 1 Wafalme 2:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Kisha Mfalme Sulemani akaambiwa: “Yoabu amekimbia akaenda katika hema la Yehova, na tazama, yupo kando ya madhabahu.” Kwa hiyo Sulemani akamtuma Benaya mwana wa Yehoyada, akisema: “Nenda, mshambulie!”+

  • 1 Mambo ya Nyakati 18:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na Benaya+ mwana wa Yehoyada+ alikuwa juu ya Wakerethi+ na Wapelethi;+ na wana wa Daudi walikuwa wa kwanza katika cheo kando ya mfalme.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki