18 Na watumishi wake wote walikuwa wakivuka kando yake; na Wakerethi wote na Wapelethi+ wote na Wagathi+ wote, watu mia sita waliokuwa wamemfuata kutoka Gathi,+ walikuwa wakivuka mbele ya uso wa mfalme.
44 Na mfalme alituma pamoja naye Sadoki kuhani na Nathani nabii na Benaya mwana wa Yehoyada na Wakerethi na Wapelethi, nao wakampandisha juu ya nyumbu-jike wa mfalme.+