1 Samweli 27:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Baada ya muda Sauli akapelekewa habari kwamba Daudi alikuwa amekimbia kwenda Gathi, kwa hiyo hakwenda kumtafuta tena.+ 1 Mambo ya Nyakati 18:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na ikawa baadaye kwamba Daudi akawapiga Wafilisti+ na kuwatiisha na kuchukua Gathi+ na miji yake ya kandokando kutoka mkononi mwa Wafilisti.
4 Baada ya muda Sauli akapelekewa habari kwamba Daudi alikuwa amekimbia kwenda Gathi, kwa hiyo hakwenda kumtafuta tena.+
18 Na ikawa baadaye kwamba Daudi akawapiga Wafilisti+ na kuwatiisha na kuchukua Gathi+ na miji yake ya kandokando kutoka mkononi mwa Wafilisti.