1 Samweli 23:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na Daudi akaanza kukaa nyikani, katika mahali palipo pagumu kufikiwa, naye akaendelea kukaa katika eneo lenye milima katika nyika ya Zifu.+ Na Sauli akaendelea kumtafuta sikuzote,+ naye Mungu hakumtia mkononi mwake.+ 1 Samweli 26:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Ndipo Sauli akamwambia Daudi: “Ubarikiwe, Daudi mwanangu. Bila shaka utafanya kazi nawe bila shaka utakuwa mshindi.”+ Daudi akaenda zake; lakini Sauli akarudi kwake.+
14 Na Daudi akaanza kukaa nyikani, katika mahali palipo pagumu kufikiwa, naye akaendelea kukaa katika eneo lenye milima katika nyika ya Zifu.+ Na Sauli akaendelea kumtafuta sikuzote,+ naye Mungu hakumtia mkononi mwake.+
25 Ndipo Sauli akamwambia Daudi: “Ubarikiwe, Daudi mwanangu. Bila shaka utafanya kazi nawe bila shaka utakuwa mshindi.”+ Daudi akaenda zake; lakini Sauli akarudi kwake.+