1 Samweli 23:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Daudi akakaa nyikani katika sehemu ambazo hazifikiki kwa urahisi, kwenye eneo lenye milima katika nyika ya Zifu.+ Sauli aliendelea kumtafuta,+ lakini Yehova hakumtia Daudi mikononi mwake. 1 Samweli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 23:14 Mnara wa Mlinzi,12/15/2015, uku. 10
14 Daudi akakaa nyikani katika sehemu ambazo hazifikiki kwa urahisi, kwenye eneo lenye milima katika nyika ya Zifu.+ Sauli aliendelea kumtafuta,+ lakini Yehova hakumtia Daudi mikononi mwake.