1 Samweli 18:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Jambo hilo likamfanya Sauli azidi kumwogopa Daudi, basi Sauli akawa adui ya Daudi maisha yake yote.+ 1 Samweli 20:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Ndipo Sauli akamtupia mkuki ili amuue,+ basi Yonathani akajua kwamba baba yake alikuwa ameazimia kumuua Daudi.+ 1 Samweli 27:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Hata hivyo, Daudi akasema moyoni mwake: “Siku moja mkono wa Sauli utaniua. Jambo bora la kufanya ni kukimbilia+ nchi ya Wafilisti; halafu Sauli atakata tamaa ya kunitafuta katika eneo lote la Israeli,+ nami nitaponyoka kutoka mkononi mwake.”
29 Jambo hilo likamfanya Sauli azidi kumwogopa Daudi, basi Sauli akawa adui ya Daudi maisha yake yote.+
33 Ndipo Sauli akamtupia mkuki ili amuue,+ basi Yonathani akajua kwamba baba yake alikuwa ameazimia kumuua Daudi.+
27 Hata hivyo, Daudi akasema moyoni mwake: “Siku moja mkono wa Sauli utaniua. Jambo bora la kufanya ni kukimbilia+ nchi ya Wafilisti; halafu Sauli atakata tamaa ya kunitafuta katika eneo lote la Israeli,+ nami nitaponyoka kutoka mkononi mwake.”