Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 15:55
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 55 Maoni,+ Karmeli na Zifu+ na Yuta,

  • 1 Samweli 23:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa hiyo wakaondoka, wakaenda Zifu+ kumtangulia Sauli, huku Daudi na watu wake wakiwa katika nyika ya Maoni+ katika Araba+ upande wa kusini wa Yeshimoni.

  • 1 Samweli 26:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Baada ya muda watu wa Zifu+ wakamjia Sauli kule Gibea,+ wakisema: “Je, Daudi hajifichi katika kilima cha Hakila,+ kinachoelekeana na Yeshimoni?”+

  • 1 Mambo ya Nyakati 2:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Na wana wa Kalebu+ ndugu ya Yerahmeeli walikuwa Mesha mzaliwa wake wa kwanza, aliyekuwa baba ya Zifu, na wana wa Maresha baba ya Hebroni.

  • Zaburi 54:utangulizi
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • Kwa kiongozi wa vinanda. Maskili. Ya Daudi. Wakati Wazifu walipokuja na kumwambia Sauli: “Je, Daudi hajifichi pamoja nasi?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki