25 Baadaye Sauli akaja na watu wake kumtafuta.+ Walipomjulisha Daudi, mara moja akashuka kwenda kwenye mwamba,+ naye akaendelea kukaa katika nyika ya Maoni. Sauli aliposikia habari hiyo, akaenda kumfuatilia+ Daudi katika nyika ya Maoni.
2 Sasa palikuwa na mtu fulani katika Maoni,+ na kazi yake ilikuwa katika Karmeli.+ Na mtu huyo alikuwa mkuu sana, naye alikuwa na kondoo elfu tatu na mbuzi elfu moja; naye alikuwa na kazi ya kukata+ kondoo zake manyoya kule Karmeli.