2 Samweli 13:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na ikawa, baada ya miaka miwili kamili, Absalomu akawa na watu wenye kukata manyoya ya kondoo+ kule Baal-hasori, karibu na Efraimu;+ naye Absalomu akawaalika wana wote wa mfalme.+
23 Na ikawa, baada ya miaka miwili kamili, Absalomu akawa na watu wenye kukata manyoya ya kondoo+ kule Baal-hasori, karibu na Efraimu;+ naye Absalomu akawaalika wana wote wa mfalme.+