Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 1:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Mwishowe Adoniya akafanya dhabihu+ ya kondoo na ng’ombe na vinono karibu na lile jiwe la Zohelethi, lililoko kando ya En-rogeli,+ akawaalika ndugu zake wote wana wa mfalme+ na wanaume wote wa Yuda watumishi wa mfalme;

  • 1 Wafalme 1:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Naye ametoa dhabihu za ng’ombe na vinono na kondoo kwa wingi sana, akawaalika wana wote wa mfalme+ na Abiathari+ kuhani na Yoabu+ mkuu wa jeshi; lakini hakumwalika Sulemani mtumishi wako.+

  • 1 Wafalme 1:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Kwa maana leo ameshuka ili atoe dhabihu+ ya ng’ombe na vinono na kondoo kwa wingi sana, na kuwaalika wana wote wa mfalme na wakuu wa jeshi na Abiathari kuhani;+ na tazama, wanakula na kunywa mbele yake na kusema, ‘Mfalme Adoniya na aishi!’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki