9 Mwishowe Adoniya akafanya dhabihu+ ya kondoo na ng’ombe na vinono karibu na lile jiwe la Zohelethi, lililoko kando ya En-rogeli,+ akawaalika ndugu zake wote wana wa mfalme+ na wanaume wote wa Yuda watumishi wa mfalme;
19 Naye ametoa dhabihu za ng’ombe na vinono na kondoo kwa wingi sana, akawaalika wana wote wa mfalme+ na Abiathari+ kuhani na Yoabu+ mkuu wa jeshi; lakini hakumwalika Sulemani mtumishi wako.+
25 Kwa maana leo ameshuka ili atoe dhabihu+ ya ng’ombe na vinono na kondoo kwa wingi sana, na kuwaalika wana wote wa mfalme na wakuu wa jeshi na Abiathari kuhani;+ na tazama, wanakula na kunywa mbele yake na kusema, ‘Mfalme Adoniya na aishi!’+