25 Kwa maana leo ameshuka kwenda kuwatoa dhabihu+ ng’ombe dume, wanyama waliononeshwa, na kondoo wengi sana, naye amewaalika wana wote wa mfalme na wakuu wa jeshi na kuhani Abiathari.+ Wako huko wakila na kunywa pamoja naye, nao wanaendelea kusema, ‘Mfalme Adoniya na aishi muda mrefu!’