2 Samweli 20:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Na Sheva+ alikuwa mwandishi,+ na Sadoki+ na Abiathari+ walikuwa makuhani. 1 Wafalme 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Naye akashirikiana na Yoabu mwana wa Seruya na Abiathari+ kuhani, nao wakaanza kumsaidia wakiwa wafuasi wa Adoniya.+
7 Naye akashirikiana na Yoabu mwana wa Seruya na Abiathari+ kuhani, nao wakaanza kumsaidia wakiwa wafuasi wa Adoniya.+