Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 15:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Na mfalme akaendelea kumwambia Sadoki kuhani: “Wewe ni mwonaji, sivyo?+ Rudi jijini kwa amani, na pia Ahimaazi mwana wako na Yonathani+ mwana wa Abiathari, wana wenu wawili, pamoja nanyi.

  • 2 Samweli 17:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Baadaye Hushai akamwambia Sadoki+ na Abiathari, makuhani: “Ahithofeli alimshauri Absalomu na wanaume wazee wa Israeli hivi na vile; nami nikashauri hivi na vile.

  • 1 Wafalme 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 na Benaya+ mwana wa Yehoyada alikuwa juu ya jeshi,+ na Sadoki na Abiathari+ walikuwa makuhani;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki