2 Samweli 17:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa kuwa Yonathani+ na Ahimaazi+ walikuwa wamesimama katika En-rogeli,+ mjakazi fulani akaenda, akawaambia. Basi wakaondoka, kwa kuwa iliwapasa kumwambia Mfalme Daudi; kwa maana haikuwezekana waonekane wakiingia jijini.
17 Kwa kuwa Yonathani+ na Ahimaazi+ walikuwa wamesimama katika En-rogeli,+ mjakazi fulani akaenda, akawaambia. Basi wakaondoka, kwa kuwa iliwapasa kumwambia Mfalme Daudi; kwa maana haikuwezekana waonekane wakiingia jijini.