36 Tazama! Huko pamoja nao kuna wana wao wawili, Ahimaazi+ wa Sadoki na Yonathani+ wa Abiathari; nanyi mwatumie hao kuniletea kila jambo ambalo huenda mkalisikia.”
19 Naye Ahimaazi+ mwana wa Sadoki akasema: “Tafadhali, acha nikimbie, nimpelekee mfalme habari hizi, kwa sababu Yehova amemhukumu ili amweke huru kutoka mkononi mwa adui zake.”+