2 Samweli 18:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Ahimaazi+ mwana wa Sadoki akasema: “Tafadhali, niruhusu nikimbie na kumpelekea mfalme habari hizi, kwa maana Yehova amemtendea kwa haki kwa kumweka huru kutoka mikononi mwa maadui wake.”+
19 Ahimaazi+ mwana wa Sadoki akasema: “Tafadhali, niruhusu nikimbie na kumpelekea mfalme habari hizi, kwa maana Yehova amemtendea kwa haki kwa kumweka huru kutoka mikononi mwa maadui wake.”+