2 Samweli 15:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Lakini mfalme akamwambia Sadoki: “Rudisha jijini+ sanduku+ la Mungu wa kweli. Nikipata kibali machoni pa Yehova, hakika atanirudisha na kuniruhusu nilione na pia makao yake.+ Zaburi 9:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana umetekeleza hukumu yangu na kesi yangu;+Umeketi juu ya kiti cha ufalme ukihukumu kwa uadilifu.+
25 Lakini mfalme akamwambia Sadoki: “Rudisha jijini+ sanduku+ la Mungu wa kweli. Nikipata kibali machoni pa Yehova, hakika atanirudisha na kuniruhusu nilione na pia makao yake.+
4 Kwa maana umetekeleza hukumu yangu na kesi yangu;+Umeketi juu ya kiti cha ufalme ukihukumu kwa uadilifu.+