17 Kwa kuwa Yonathani+ na Ahimaazi+ walikuwa wamesimama katika En-rogeli,+ mjakazi fulani akaenda, akawaambia. Basi wakaondoka, kwa kuwa iliwapasa kumwambia Mfalme Daudi; kwa maana haikuwezekana waonekane wakiingia jijini.
42 Alipokuwa bado anasema, tazama, Yonathani+ mwana wa Abiathari kuhani akaja. Ndipo Adoniya akasema: “Ingia ndani, kwa maana wewe ni mwanamume mwenye nguvu, nawe unaleta habari njema.”+