2 Samweli 18:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Na mlinzi akaendelea kusema: “Ninaona kwamba namna ya kukimbia ya yule wa kwanza ni kama namna ya kukimbia+ ya Ahimaazi+ mwana wa Sadoki,” naye mfalme akasema: “Huyu ni mtu mwema,+ naye hakika anakuja na habari njema.”+
27 Na mlinzi akaendelea kusema: “Ninaona kwamba namna ya kukimbia ya yule wa kwanza ni kama namna ya kukimbia+ ya Ahimaazi+ mwana wa Sadoki,” naye mfalme akasema: “Huyu ni mtu mwema,+ naye hakika anakuja na habari njema.”+