Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 15:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na mpaka huo ukapanda hadi Debiri katika nchi tambarare ya chini ya Akori+ na kugeuka kuelekea kaskazini hadi Gilgali,+ lililo mbele ya mpando wa Adumimu, ambao uko upande wa kusini wa bonde la mto; na mpaka huo ukaendelea hadi kwenye maji ya En-shemeshi,+ na mwisho wake ukawa En-rogeli.+

  • Yoshua 18:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na mpaka huo ukashuka kuelekea mwisho wa mlima unaoelekeana na bonde la mwana wa Hinomu,+ ambalo limo katika nchi tambarare ya chini ya Refaimu+ upande wa kaskazini, nao ukashuka katika bonde la Hinomu, kwenye mteremko wa Myebusi+ upande wa kusini, nao ukashuka hadi En-rogeli.+

  • 1 Wafalme 1:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Mwishowe Adoniya akafanya dhabihu+ ya kondoo na ng’ombe na vinono karibu na lile jiwe la Zohelethi, lililoko kando ya En-rogeli,+ akawaalika ndugu zake wote wana wa mfalme+ na wanaume wote wa Yuda watumishi wa mfalme;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki