7 Na mpaka huo ukapanda hadi Debiri katika Bonde la Akori+ na kugeuka kuelekea kaskazini hadi Gilgali,+ mbele ya njia inayopanda kuelekea Adumimu, ambayo iko upande wa kusini wa bonde la mto, kisha ukaendelea hadi kwenye chemchemi ya En-shemeshi+ na kufikia mwisho kule En-rogeli.+