Kumbukumbu la Torati 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nao Warefaimu,+ wao pia walionwa kama Waanaki,+ na Wamoabu walikuwa wakiwaita Waemi. 2 Samweli 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nao Wafilisti wakaingia na kuendelea kutembea huku na huku katika nchi tambarare ya chini ya Refaimu.+ Isaya 17:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na itatukia kwamba mvunaji anapokusanya nafaka inayosimama na mkono wake unapovuna masuke ya nafaka,+ atakuwa kama mtu anayeokota masalio ya masuke ya nafaka katika nchi tambarare ya chini ya Refaimu.+
18 Nao Wafilisti wakaingia na kuendelea kutembea huku na huku katika nchi tambarare ya chini ya Refaimu.+
5 Na itatukia kwamba mvunaji anapokusanya nafaka inayosimama na mkono wake unapovuna masuke ya nafaka,+ atakuwa kama mtu anayeokota masalio ya masuke ya nafaka katika nchi tambarare ya chini ya Refaimu.+