5 Na mwaka wa kumi na nne Kedorlaoma akaja, na pia wafalme waliokuwa pamoja naye, nao wakashinda Warefaimu katika Ashteroth-karnaimu,+ na Wazuzi katika Hamu, na Waemi+ katika Shave-kiriathaimu,
11 Kwa maana Ogu mfalme wa Bashani ndiye tu aliyebaki kati ya mabaki ya Warefaimu.+ Tazama! Sanduku lake lilikuwa sanduku la chuma. Je, haliko kule Raba+ kwa wana wa Amoni? Urefu wake ni mikono tisa, na upana wake ni mikono minne, kwa mkono wa mwanadamu.
6 Na kukawa na vita tena katika Gathi,+ wakati kulipokuwa na mtu mwenye ukubwa usio wa kawaida,+ ambaye vidole vyake vya mikono na vidole vyake vya miguu vilikuwa sita sita, jumla 24;+ naye pia alikuwa amezaliwa kwa Refaimu.+