Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 14:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na mwaka wa kumi na nne Kedorlaoma akaja, na pia wafalme waliokuwa pamoja naye, nao wakashinda Warefaimu katika Ashteroth-karnaimu,+ na Wazuzi katika Hamu, na Waemi+ katika Shave-kiriathaimu,

  • Kumbukumbu la Torati 3:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana Ogu mfalme wa Bashani ndiye tu aliyebaki kati ya mabaki ya Warefaimu.+ Tazama! Sanduku lake lilikuwa sanduku la chuma. Je, haliko kule Raba+ kwa wana wa Amoni? Urefu wake ni mikono tisa, na upana wake ni mikono minne, kwa mkono wa mwanadamu.

  • 1 Mambo ya Nyakati 20:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na kukawa na vita tena katika Gathi,+ wakati kulipokuwa na mtu mwenye ukubwa usio wa kawaida,+ ambaye vidole vyake vya mikono na vidole vyake vya miguu vilikuwa sita sita, jumla 24;+ naye pia alikuwa amezaliwa kwa Refaimu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki