63 Lakini wale Wayebusi+ waliokuwa wakikaa katika Yerusalemu,+ wana wa Yuda hawakuweza kuwafukuza;+ basi hao Wayebusi wanaendelea kukaa pamoja na wana wa Yuda katika Yerusalemu mpaka leo hii.
8 Zaidi ya hayo, wana wa Yuda wakaendelea kupigana vita na jiji la Yerusalemu+ nao wakaliteka, wakalipiga kwa makali ya upanga, kisha wakateketeza jiji hilo kwa moto.
10 Hata hivyo, mwanamume huyo hakukubali kulala usiku kucha, bali alisimama, akaondoka na kwenda mpaka mbele ya Yebusi,+ yaani, Yerusalemu;+ naye alikuwa na wale punda-dume wawili waliotandikwa, na suria wake na mtumishi wake.